Tbr24 Media
Tbr24 Media
  • Видео 2 545
  • Просмотров 4 142 462

Видео

THANK YOU YA CHAMA KUTOKA LEO, SIMBA WAJIPANGA BAADA YA INONGA KUONDOKA
Просмотров 425 часов назад
#ssc #simbasc @simbasctanzania255 #yanga @manaratv @ayomamedia7511
#FRANCE: SINGELI TO THE WORLD || YATUA UFARANSA!
Просмотров 72 часа назад
Katibu Mtendaji wa Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) Dkt. Kedmon Mapana @kmapana Akiwa na baadhi ya wasanii wa Singeli Wamoto Group, Man Fongo, Rehema & Queen Asher, Sisso & Maiko (DJs) nchini Ufaransa katika jiji la Paris. #tbr24media #tbr24mediaUPDATES #tanzania #france #music #musicvideo
MBUNGE WA TABORA AMPONGEZA MHE.BASHE, "MUNGU ALITAKA UKWELI UJULIKANE"
Просмотров 1322 часа назад
#bashe #mpina @millardayoTZA @globaltv_online @Wasafi_Media @wananchii
MBUNGE SHIGONGO ATEMA CHECHE, SPENDI KUWA MASIKINI | WANAOIBA WAFUNGWE TU
Просмотров 122 часа назад
#bunge #bungeni @Wasafi_Media @wananchii @globaltv_online @millardayoTZA @HabariDigital
#AFYA: HUDUMA ZIENDE SAMBAMBA NA KUWAJENGEA UWEZO WATAALAMU!
Просмотров 12 часа назад
Mratibu wa zoezi la Madaktari Bingwa linalo endelea nchi nzima kwa Mkoa wq Simiyu Bi Getrude Naftali, amewasihi Madaktari Bingwa katika mkoa wa Simiyu, kutumia fursa hiyo, kuwahudumia wananchi kwa moyo lakini pia kuwajengea uwezo wataalam wa Afya katika Hospitali walizopangiwa. Bi. Getrude ametoa wito huo wakati wa Hafla ya kuwapokea Madaktari 30 waliopangiwa kwenye Mkoa wa Simiyu kwa ajili yak...
USAJILI WA YANGA KUTISHIA USTAWI WA MTANI, SIMBA WATAFUA DAFU?
Просмотров 502 часа назад
USAJILI WA YANGA KUTISHIA USTAWI WA MTANI, SIMBA WATAFUA DAFU?
MPINA MAMSHITAKI MPAKA CCM , MIMI NI MJUMBE KAMATI KUU
Просмотров 882 часа назад
MPINA MAMSHITAKI MPAKA CCM , MIMI NI MJUMBE KAMATI KUU
MSUKUMA AMSIGINA MPINA "APEWE ADHABU KUBWA YA VIKAO 15" MPINA ASIMAMA
Просмотров 822 часа назад
MSUKUMA AMSIGINA MPINA "APEWE ADHABU KUBWA YA VIKAO 15" MPINA ASIMAMA
KAMATI ILIVYOMTIA MHE. MPINA HATIANI
Просмотров 662 часа назад
KAMATI ILIVYOMTIA MHE. MPINA HATIANI
#BUNGE: LIPA WANANCHI MLIOWAFUKULIA MAKABURI YAO!
Просмотров 142 часа назад
#BUNGE: LIPA WANANCHI MLIOWAFUKULIA MAKABURI YAO!
#BUNGE: HUU NI USANII || WAITARA ALIA NA SERIKALI!
Просмотров 224 часа назад
#BUNGE: HUU NI USANII || WAITARA ALIA NA SERIKALI!
#UCHUMI: KAULI YA RC CHALAMILA BAADA YA KUFIKA KARIAKOO || APIGA BITI!
Просмотров 764 часа назад
#UCHUMI: KAULI YA RC CHALAMILA BAADA YA KUFIKA KARIAKOO || APIGA BITI!
YANGA YAMRUDISHA YACOBA SOGNE, VIHOJA VYA USAJILI VYAENDELEA DIRISHA LA USAJILI
Просмотров 337 часов назад
YANGA YAMRUDISHA YACOBA SOGNE, VIHOJA VYA USAJILI VYAENDELEA DIRISHA LA USAJILI
SAKATA LA MADADA POA LASHIKA SURA MPYA
Просмотров 189 часов назад
SAKATA LA MADADA POA LASHIKA SURA MPYA
UKWELI KUHUSU LAMECK LAWI KUSAJILIWA SIMBA, HUU NI MCHEZO WA WAKUBWA
Просмотров 4212 часов назад
UKWELI KUHUSU LAMECK LAWI KUSAJILIWA SIMBA, HUU NI MCHEZO WA WAKUBWA
AWATETEA BASHE NA MWIGULU MBELE YA BUNGE
Просмотров 1512 часов назад
AWATETEA BASHE NA MWIGULU MBELE YA BUNGE
MAJIBU YA NAIBU WAZIRI KWA MBUNGE , ALIPOULIZA HABARI YA AJIRA
Просмотров 1912 часов назад
MAJIBU YA NAIBU WAZIRI KWA MBUNGE , ALIPOULIZA HABARI YA AJIRA
WATAKAO ISALITI TABORA UNITED MSIMU UJAO WATAKIONA CHAMOTO
Просмотров 8912 часов назад
WATAKAO ISALITI TABORA UNITED MSIMU UJAO WATAKIONA CHAMOTO
TUNAENDA KUITENGENEZA TIMU NA KUSAJILI VIZURI TABORA UNITED ITAKUWA TIMU BORA MSIMU UJAO"
Просмотров 5212 часов назад
TUNAENDA KUITENGENEZA TIMU NA KUSAJILI VIZURI TABORA UNITED ITAKUWA TIMU BORA MSIMU UJAO"
CHRIS BROWN KUIKUBALI COMASAVA YA DIAMOND AJIPOST AKICHEZA
Просмотров 2612 часов назад
CHRIS BROWN KUIKUBALI COMASAVA YA DIAMOND AJIPOST AKICHEZA
NASAHA ZA RC CHACHA KWA WACHEZAJI WA TBR UNTD
Просмотров 6312 часов назад
NASAHA ZA RC CHACHA KWA WACHEZAJI WA TBR UNTD
KWA KUBAKI LIGI KUU ,TABORA UNITED WALAMBA MILIONI 50 ZA RC TABORA
Просмотров 9414 часов назад
KWA KUBAKI LIGI KUU ,TABORA UNITED WALAMBA MILIONI 50 ZA RC TABORA
ALICHOKIJIBU WAZIRI MKUU JUU YA KUWAWEKA SEHEMU MOJA MAALBINO
Просмотров 2114 часов назад
ALICHOKIJIBU WAZIRI MKUU JUU YA KUWAWEKA SEHEMU MOJA MAALBINO
Waziri Mkuu Atoa Tamko BUNGENI Mauaji ya Mtoto ASIMWE
Просмотров 10314 часов назад
Waziri Mkuu Atoa Tamko BUNGENI Mauaji ya Mtoto ASIMWE
SABABU ZA SAMATA KUSATAAFU ZAWEKWA WAZI, KARIA ATAJWA
Просмотров 13914 часов назад
SABABU ZA SAMATA KUSATAAFU ZAWEKWA WAZI, KARIA ATAJWA
RONALDO AWEKA REKODI NYINGINE, SASA KUCHEZA NA MWANAYE TIMU MOJA
Просмотров 7414 часов назад
RONALDO AWEKA REKODI NYINGINE, SASA KUCHEZA NA MWANAYE TIMU MOJA
KISA LAMECK LAWI VIONGOZI COASTAL UNION WAVURUGANA
Просмотров 2,3 тыс.14 часов назад
KISA LAMECK LAWI VIONGOZI COASTAL UNION WAVURUGANA
MO DEWJI AWATUMIA KISUGU NA GB64 KUIVURUGA SIMBA ?
Просмотров 12714 часов назад
MO DEWJI AWATUMIA KISUGU NA GB64 KUIVURUGA SIMBA ?
SIMBA YASAJILI MFUNGAJI BORA WA GHANA, ANALIPWA PESA NYINGI KULIKO WOTE
Просмотров 17314 часов назад
SIMBA YASAJILI MFUNGAJI BORA WA GHANA, ANALIPWA PESA NYINGI KULIKO WOTE

Комментарии

  • @UstadhiRai
    @UstadhiRai 29 минут назад

    Taybu ulimgusa kweli m#miwa makonda

  • @VeronicaStanley-jp1zp
    @VeronicaStanley-jp1zp 3 часа назад

    Chief inbox me fb

  • @shadrackhelemani346
    @shadrackhelemani346 День назад

    Kwer mama kwA ekima sisi tunaenda kiongoz wa kwer

  • @user-cq5rs5in2y
    @user-cq5rs5in2y День назад

    mama samia pole uongozi mgumu sana mm napita mbio mbio hapa

  • @user13375
    @user13375 2 дня назад

    Bebebebeeeeeee

  • @mreagletz
    @mreagletz 2 дня назад

    Ukijifanya chura tunateseka sisi Wananchi sikiliza

  • @user-xk7vy4gb6g
    @user-xk7vy4gb6g 2 дня назад

    Pole Sana ndugu yangu Mungu akufanyie wepesi

  • @activestudios.
    @activestudios. 3 дня назад

    Chura wapewa nafasi serikalini 😂😂😂😂 VICHWA VYA HABARI KWENYE MAGAZETI YA UDAKU

  • @MISHELIMSAFIRI
    @MISHELIMSAFIRI 3 дня назад

    Mama wewe chuma sana mama tunakukubali sana acha watoto wapige kelele maana nikawaida yao ila mama wewe chapa kazi tu mamaang❤

  • @JUBRANBULAYHl-yb4ke
    @JUBRANBULAYHl-yb4ke 3 дня назад

    Ni nani aliyekuambia, Bibi, ufiche, lakini utaelekeza kile ambacho moyo wako hauwezi kustahimili, kwa muda tu, Uadilifu, au adhabu kali kwako, unajiona kuwa dhalimu, mkaidi, dhalimu. Ee Mungu, Amina, Mola Mlezi wa walimwengu wote.☝🏻☝🏻🤲🤲☝🏻☝🏻

  • @JUBRANBULAYHl-yb4ke
    @JUBRANBULAYHl-yb4ke 3 дня назад

    Ni nani aliyekuambia, Bibi, ufiche, lakini utaelekeza kile ambacho moyo wako hauwezi kustahimili, kwa muda tu, Uadilifu, au adhabu kali kwako, unajiona kuwa dhalimu, mkaidi, dhalimu. Ee Mungu, Amina, Mola Mlezi wa walimwengu wote.☝🏻☝🏻🤲🤲☝🏻☝🏻

  • @LIVERPOOL-ig9rz
    @LIVERPOOL-ig9rz 3 дня назад

    Nataka mutowe mpak Akina Ronaldo hamutuwez

  • @MsalabaniReko
    @MsalabaniReko 4 дня назад

    Kumbe kauza kweli

  • @joshuamwambene2874
    @joshuamwambene2874 5 дней назад

    Watuambie tunadaiwa Senti ngapi ? Tuchange tupo wengi mbona?

  • @youngsachafurniture5482
    @youngsachafurniture5482 5 дней назад

    Kwahy utauza mnooo vitu

  • @user-ci9uc3et6v
    @user-ci9uc3et6v 5 дней назад

    Hanna hoja nyie,mnamaliz mb za wateja.

  • @stanslausbereghe3819
    @stanslausbereghe3819 5 дней назад

    TFF itukize akili, mnaionea Yanga

  • @allykarupa1411
    @allykarupa1411 5 дней назад

    Tff ya Karia haiwapendi yanga nandiomana kiatu hakitolewi kwawakati..

  • @shabanikingu752
    @shabanikingu752 5 дней назад

    Hilo ni jembe likipatikana Simba itakua mwemwere

  • @user-or8mz1hf6p
    @user-or8mz1hf6p 5 дней назад

    Lamack lawi tayari katangaswa now simbaaaa. Iyoo

  • @stevensosipita
    @stevensosipita 5 дней назад

    HUJIELEWI WEWE WATANZANIA HATUKUELEWI UNAONA SIFA KUBINAFSISHA BANDARI KWA MKATABA USIONA UKOMO HUJUWI UNATURUDISHA UTUMWANI?MADENI MZIGO KUTWA KUKOPA

  • @JeyJeydoctar-gq1bw
    @JeyJeydoctar-gq1bw 5 дней назад

    Eti mnashangilia ivi....basi napita 😢

  • @xawom3016
    @xawom3016 5 дней назад

    Kwanza uongozi wa mwanamke katika waislamu ni haramuuuuuuu, bi mkubwa sauti ya nini !!!😃😩😩

  • @msafiriomary893
    @msafiriomary893 6 дней назад

    Magufuli mwingine waja kureni kwa mara ya mwisho mtaria machozi ya damu ibeni kwa mara ya mwisho tutafuta mikataba yote ya hovyo

  • @msafiriomary893
    @msafiriomary893 6 дней назад

    Mujiandae anakuja magufuli mwwwingine

  • @msafiriomary893
    @msafiriomary893 6 дней назад

    Sasa mpaka uondoke madarakani inchi siii itakuwa imeisha Kuna faida gani

  • @revocatusmalimi4525
    @revocatusmalimi4525 6 дней назад

    Kwa hili TFF haina makosa. Sioni ninyi waandishi mnatoa lawama TFF kwa nini badala kuaonyesha kidole wanaodaiwa sababu ya kusubili jambo lipewe msukumo na FIFA huku wakiwa wanafahamu tangu zamani.Hivyo ninyi munaoneka kutaka kumlinda tu mdaiwa kuwa ameaibishwa

  • @BrycesonKombe-eh9hd
    @BrycesonKombe-eh9hd 6 дней назад

    Mbona hakerwi na RC kulawt

  • @Desdelclaudio
    @Desdelclaudio 6 дней назад

    Kuidai yanga ni sawa na kuidai selikar watalipwa tu na soka litaendelea

  • @user-bt6ep3yb2h
    @user-bt6ep3yb2h 6 дней назад

    Huyo anayekuhoji haelewi.

  • @user-bt6ep3yb2h
    @user-bt6ep3yb2h 6 дней назад

    Eng hachafuki chochote, uongozi wa Eng imelipa maddeni mengi sana ya nyuma, hivyo eng. yuko safi sana. Mda utafika tuone yanga itazuiliwa kusajiri, Yanga ina vichwa vyelevyu sana, hongereni.

  • @SuleimanSaleh-js5wh
    @SuleimanSaleh-js5wh 6 дней назад

    Kwanini baada ya kulipa kwanini wao usiwasiliana na fifa usiwawekei kifua

  • @brownmasai774
    @brownmasai774 6 дней назад

    Kwa Nini mnatupotezea muda. WaambieniTFF watoe ufafanuzi

  • @drallan6879
    @drallan6879 6 дней назад

    FC madeni ;mwiko nyuma

  • @drallan6879
    @drallan6879 6 дней назад

    Engineer yanga hayanmadeni yanakuchafua!

    • @godlistengodlisten7552
      @godlistengodlisten7552 6 дней назад

      Nadhani Wewe Hujui Mpira Injinia Heris Wakati Anaichukua Yanga Alikuta Madeni.

  • @IssaMartin-ly4wj
    @IssaMartin-ly4wj 6 дней назад

    Yanga wake wayamarize so vizur kuwa namamigogoro na wachezaji

  • @JonathanMgaiwa
    @JonathanMgaiwa 6 дней назад

    Naona wanajitahidi kuwatetea waliofungiwa lakini ukweli ni kuwa hawajalipa, acheni ushabiki

    • @mussamtupa
      @mussamtupa 6 дней назад

      Yanga wenye kupia Kwa Afisa habalu wao Ally kamwe amesema wamelipa pesa zote za Dumbia na kambole Siku moja kabra ya kufungua dirisha la usajili Na wamepokea ujumbe kwamba wapo huru kusajir Ww unasema bado sasa tumuamini nani kat ya ww na Yanga?

  • @abympambe5659
    @abympambe5659 6 дней назад

    uyo yanga hawezi kusema kweli

  • @jumachum8647
    @jumachum8647 6 дней назад

    huyo mchambuzi ana akili kweli

  • @charleskuyeko4400
    @charleskuyeko4400 6 дней назад

    Wewe unakataa nini wakati yanga kafungiwa? Yeye amalizane na hao wachezaji wote. Fifa iliwafungia yanga kutokana na Kambole kutokuwa kwenye mfumo. Huyu anayepinga kufungiwa anajifurahisha kwasababu ni mshabiki wa yanga. Kufungiwa kupo palepale. Msiwe mnatuletea watu wapuuzi kama hawa kwenye channel. Yanga kafungiwa.

    • @godlistengodlisten7552
      @godlistengodlisten7552 6 дней назад

      Sasa Wewe Kolo Fc A.K.A, Shirikisho Fc,Unawashwa Kipele Kipi,Cha Goli Tano,Au Cha Nafasi Ya Tatu,Au Cha Kugombana Na Mangungu?Yenu Yamewashinda Mnahangaika Na Ya Yanga,Mtayaweza?

  • @JuliusWandwi
    @JuliusWandwi 7 дней назад

    Unaongea kishabiki hauna lolote.

  • @DianaCriss-sq2gu
    @DianaCriss-sq2gu 7 дней назад

    Haya bwana

  • @AmeMahmoud
    @AmeMahmoud 7 дней назад

    Kwani huyu okr ameipeleka yanga fifa

  • @charleskuyeko4400
    @charleskuyeko4400 7 дней назад

    Simba kumbe bado ni yale yale ya kupikuliwa na utopolo kwenye usajili!!!! Mo si ametuahidi kuchukua vyuma kwa gharama yoyote. Sasa tunamkosaje Pokuu kwa 350M tu? Au kwakuwa Barbra karudi ameamua kutuharibia usajili tena? Basi kumbe maumivu yetu yapo palepale. Na ikiwa hivyo tutaungana na Mangungu kumng'oa MO ili tupate wawekezaji wengine wenye uwezo wa kutuvusha. MO bado ni yuleyule na TryAgain wake wajanja wajanja. Mashabiki tunashangilia kitu ambacho hatukijui. Tutakuja kujua baadae na tutawasifia akina Cpa na Masudi kwamba walikuwa sahihi. Sisi tulidhani MO ameingia kwa gea kubwa kuturudishia furaha kumbe ni baada tu ya kusikia Wabunge wakichachamaa kutaka kumnyanganya timu ndiyo kajidaii kusema anarudi. Tunamkosaje Pokuu na Panzuu ambao sisi ndiyo tuliokuwa wa kwanza kuwaspot? Tutakuwa wanyonge wa utopolo mpaka lini? Huyu Magori aliyepewa kusajili si ndiye aliyetuletea akina Chikwende na akina Nyoni wa Malawi?SMagori si mtu wa mpira. Bora hata angetumwa Aden Rage. Tusishangae msimu ujao tukastruggle kuingia 4 bora. Hata hii namba 3 hatutaipata.

  • @liverpoolfootballclub9985
    @liverpoolfootballclub9985 7 дней назад

    Tatua mambo kijeshi. Wanaeiba mali ya serikali deal with them with an iron hand. Hakuna kucheka na mafisadi. Lazima uwe na damu ya JPM ndiyo uelewe hili